Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Mugendi (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on August 29, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nuru (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Anna Sumari (Guest) on July 26, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on July 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Khatib (Guest) on June 18, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on June 11, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 6, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanaidi (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜† Kali sana!

John Mwangi (Guest) on April 7, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Benjamin Kibicho (Guest) on February 23, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on February 6, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on January 25, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Hellen Nduta (Guest) on January 9, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Sarah Mbise (Guest) on December 30, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on December 25, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Sarah Karani (Guest) on November 17, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on November 13, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on November 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 2, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on October 30, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on October 26, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on September 24, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Majid (Guest) on August 9, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

John Malisa (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Sekela (Guest) on May 1, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on April 21, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on April 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Khadija (Guest) on March 25, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Lowassa (Guest) on March 10, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mbise (Guest) on March 4, 2016

Asante Ackyshine

Elijah Mutua (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Kawawa (Guest) on January 21, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 6, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on December 21, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on December 20, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Asha (Guest) on December 15, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Aziza (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Kimario (Guest) on November 1, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on October 30, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Baridi (Guest) on October 28, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on October 25, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Malela (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Margaret Mahiga (Guest) on July 20, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Diana Mumbua (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Tambwe (Guest) on June 23, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Hassan (Guest) on June 17, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on May 27, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Kimotho (Guest) on May 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joseph Mallya (Guest) on May 10, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Patrick Akech (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Related Posts

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More