Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Muthui (Guest) on March 19, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

George Wanjala (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on March 4, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 6, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on December 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Maimuna (Guest) on October 31, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jamila (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on October 10, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Patrick Akech (Guest) on September 28, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on September 20, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 16, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sofia (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Christopher Oloo (Guest) on July 25, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on July 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on June 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kassim (Guest) on May 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Irene Akoth (Guest) on May 18, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 6, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nekesa (Guest) on April 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Wilson Ombati (Guest) on February 29, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Kenneth Murithi (Guest) on February 20, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Majid (Guest) on February 17, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mustafa (Guest) on February 8, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on February 7, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on January 9, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on December 25, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Francis Njeru (Guest) on December 24, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on December 13, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Safiya (Guest) on November 30, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Salima (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Wairimu (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Kawawa (Guest) on October 30, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Zulekha (Guest) on September 29, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mrema (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mwakisu (Guest) on August 23, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Linda Karimi (Guest) on August 18, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Faiza (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on July 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on July 20, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Anna Mahiga (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Latifa (Guest) on June 30, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Carol Nyakio (Guest) on June 13, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Vincent Mwangangi (Guest) on June 5, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Edward Lowassa (Guest) on May 15, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on April 4, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Nyerere (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More