Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mwangi (Guest) on September 24, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaisha (Guest) on August 25, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Njoroge (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

John Kamande (Guest) on July 30, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on July 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 25, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Safiya (Guest) on June 5, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Miriam Mchome (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on May 8, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Wafula (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Biashara (Guest) on April 28, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on April 19, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on March 17, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on March 3, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Selemani (Guest) on January 24, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 23, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 7, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on December 18, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Umi (Guest) on November 6, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on October 3, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on June 21, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on June 15, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on April 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Lowassa (Guest) on March 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on February 20, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 1, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mahiga (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kikwete (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Yusra (Guest) on January 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Issa (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Mwangi (Guest) on November 21, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on November 9, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on October 26, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Irene Makena (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on October 8, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maneno (Guest) on September 17, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwanajuma (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Kibwana (Guest) on August 16, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on August 14, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Zawadi (Guest) on August 12, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on August 4, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on July 17, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on June 21, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ruth Wanjiku (Guest) on June 11, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 10, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Agnes Njeri (Guest) on April 15, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More