Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mzee (Guest) on July 22, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on June 24, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 7, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on May 10, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Francis Njeru (Guest) on May 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 14, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 12, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on March 13, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on February 15, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rahim (Guest) on February 8, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Charles Mboje (Guest) on January 7, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sekela (Guest) on December 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samuel Omondi (Guest) on December 9, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 3, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Sokoine (Guest) on November 27, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Agnes Sumaye (Guest) on November 22, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwajabu (Guest) on November 15, 2016

Asante Ackyshine

Charles Mchome (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Mduma (Guest) on October 11, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on August 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on August 11, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sharifa (Guest) on July 1, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on June 16, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Mduma (Guest) on April 29, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sofia (Guest) on April 26, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on April 26, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on April 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on March 24, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Dorothy Nkya (Guest) on February 5, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rehema (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Bahati (Guest) on December 18, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Fadhila (Guest) on December 15, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alice Mrema (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Kawawa (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Zuhura (Guest) on October 30, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ramadhan (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Yahya (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on September 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on July 13, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Khamis (Guest) on July 11, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 23, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on June 9, 2015

🀣πŸ”₯😊

Kevin Maina (Guest) on May 27, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nyota (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Mahiga (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tambwe (Guest) on April 10, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Grace Minja (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on April 2, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Related Posts

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More