Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mzee (Guest) on July 22, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on June 24, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 7, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on May 10, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Francis Njeru (Guest) on May 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 14, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 12, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on March 13, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on February 15, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rahim (Guest) on February 8, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Charles Mboje (Guest) on January 7, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sekela (Guest) on December 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samuel Omondi (Guest) on December 9, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 3, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Sokoine (Guest) on November 27, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Agnes Sumaye (Guest) on November 22, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwajabu (Guest) on November 15, 2016

Asante Ackyshine

Charles Mchome (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Mduma (Guest) on October 11, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on August 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on August 11, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sharifa (Guest) on July 1, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on June 16, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Mduma (Guest) on April 29, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sofia (Guest) on April 26, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on April 26, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on April 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on March 24, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Dorothy Nkya (Guest) on February 5, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rehema (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Bahati (Guest) on December 18, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Fadhila (Guest) on December 15, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alice Mrema (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Kawawa (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Zuhura (Guest) on October 30, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ramadhan (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Yahya (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on September 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on July 13, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Khamis (Guest) on July 11, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 23, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on June 9, 2015

🀣πŸ”₯😊

Kevin Maina (Guest) on May 27, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nyota (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Mahiga (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tambwe (Guest) on April 10, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Grace Minja (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on April 2, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Related Posts

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More