Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Featured Image

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu basi nami..

Nikampelekea msg nikamuandikia umependeza saana bosi mashaallah…!!
sasa baada tu ya kumfika msg.. na huku picha ikafunguka kumbe picha ya Sokwe..!!
Basi Kaniambia kesho niende ofsini kwake kuna barua yangu..
Nahisi hyo barua ina pesa, hapa cjalala, nmekosa usingizi kabisa,nawaza ninunulie nn hyo pesa.Na kesho asubuhi sa 12 asubuhi atanikuta ofisini kwake naisubiri barua, sipendagi ujinga mimi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Sumaye (Guest) on September 5, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Daudi (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Francis Mtangi (Guest) on June 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on June 19, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Masika (Guest) on April 10, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on April 1, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on March 30, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 9, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Diana Mallya (Guest) on February 18, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rahim (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on December 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwalimu (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Philip Nyaga (Guest) on December 18, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on November 30, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Achieng (Guest) on November 6, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Hashim (Guest) on November 5, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on November 3, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ndoto (Guest) on November 1, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Mushi (Guest) on October 1, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on August 12, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Chacha (Guest) on August 4, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Zawadi (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Mbithe (Guest) on June 4, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on May 15, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on May 5, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on March 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on February 21, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Janet Wambura (Guest) on February 12, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Nancy Kabura (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on February 2, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Robert Okello (Guest) on January 8, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on January 4, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on January 4, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Leila (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on December 24, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

George Tenga (Guest) on November 4, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Lissu (Guest) on November 1, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Nkya (Guest) on October 6, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Ahmed (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on September 3, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on August 13, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Mligo (Guest) on July 24, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Kitine (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on June 21, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sofia (Guest) on June 11, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Edward Chepkoech (Guest) on June 5, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Carol Nyakio (Guest) on May 3, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Richard Mulwa (Guest) on April 16, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More