Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Featured Image

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta anasoma Biblia nikajisikia fahari kuona anasoma neno kituo cha Polisi. Nikamuukiza Afande ni Nani alimuua Goliathi? Akasema Muulize Afande Mwita mlango namba 2 ndo anausika na Kesi za Mauaji.πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Njoroge (Guest) on October 21, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mashaka (Guest) on September 27, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on September 10, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 3, 2017

Asante Ackyshine

Farida (Guest) on July 27, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Sokoine (Guest) on July 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ndoto (Guest) on June 30, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on June 28, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Abdullah (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Lydia Wanyama (Guest) on June 5, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on June 4, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

James Kimani (Guest) on May 6, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on April 30, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Henry Mollel (Guest) on April 17, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on April 10, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 29, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Sarah Mbise (Guest) on March 28, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on March 23, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on March 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Chris Okello (Guest) on December 27, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Patrick Kidata (Guest) on December 25, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Henry Sokoine (Guest) on November 19, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on October 31, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on October 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 4, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on July 22, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 12, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Edwin Ndambuki (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Khalifa (Guest) on June 29, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mchome (Guest) on June 10, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on May 30, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on May 25, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on May 22, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nora Lowassa (Guest) on May 2, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on April 28, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Michael Onyango (Guest) on April 26, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on March 22, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Moses Mwita (Guest) on February 16, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Mwangi (Guest) on February 10, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on January 15, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Alice Jebet (Guest) on January 14, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on December 24, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mariam Kawawa (Guest) on December 20, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Chris Okello (Guest) on December 18, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on December 10, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on December 9, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on November 27, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 1, 2015

🀣πŸ”₯😊

Moses Mwita (Guest) on September 14, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on September 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on June 17, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rose Mwinuka (Guest) on June 14, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Samuel Were (Guest) on June 7, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Victor Sokoine (Guest) on April 21, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on April 7, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More