Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Halimah (Guest) on November 24, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Majid (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Agnes Njeri (Guest) on October 30, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

John Lissu (Guest) on September 15, 2017

🀣πŸ”₯😊

Brian Karanja (Guest) on September 11, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Elijah Mutua (Guest) on August 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on August 28, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on July 11, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joseph Mallya (Guest) on July 2, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Faith Kariuki (Guest) on April 27, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mazrui (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Wafula (Guest) on March 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on January 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on January 2, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 16, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on October 29, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rose Waithera (Guest) on September 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on September 22, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on September 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Hawa (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Richard Mulwa (Guest) on August 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on August 6, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Josephine Nduta (Guest) on June 15, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on June 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Hekima (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joyce Nkya (Guest) on May 13, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on May 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Anna Malela (Guest) on April 20, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on April 8, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mbise (Guest) on March 26, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on March 4, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on February 25, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sarah Karani (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on January 2, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Esther Nyambura (Guest) on December 20, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on December 19, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nchi (Guest) on December 7, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Asha (Guest) on November 10, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Mwalimu (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on November 1, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwafirika (Guest) on October 26, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Ahmed (Guest) on October 22, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Sarah Karani (Guest) on August 26, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on August 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on August 6, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Michael Onyango (Guest) on July 13, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Jafari (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Njeru (Guest) on April 21, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More