Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Featured Image

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake.

Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwake….

Akanyata taratibua akafungua mlango akazama chumbani kwa mjomba ake bila kujua, ghafla umeme ukarudi…

MJOMBA; we mshenzi umefata nini chumbani kwangu tena uko uchi

JAMAA; nimekuja kukuaga kesho naondoka

MJOMBA; ndo uje uchi?

JAMAA; ndio kwasababu nimeshapaki kila kitu kwenye begi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on April 7, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

John Malisa (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Kamande (Guest) on March 20, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ndoto (Guest) on March 10, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Njuguna (Guest) on February 28, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rehema (Guest) on February 14, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Kitine (Guest) on January 30, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 29, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Wande (Guest) on January 9, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on December 27, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on December 25, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on November 22, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Anthony Kariuki (Guest) on October 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on October 13, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

David Chacha (Guest) on October 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 28, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Otieno (Guest) on August 13, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Andrew Mchome (Guest) on August 9, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Asha (Guest) on August 3, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 2, 2016

Asante Ackyshine

Victor Malima (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Aziza (Guest) on June 16, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Maulid (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Wangui (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Sumaye (Guest) on May 17, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

James Mduma (Guest) on April 29, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on April 24, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Baridi (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Omari (Guest) on March 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on March 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on February 2, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on January 26, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 24, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on December 21, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on December 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on December 3, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on December 2, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on November 8, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on November 6, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Chris Okello (Guest) on November 1, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Michael Onyango (Guest) on October 27, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on October 26, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Stephen Mushi (Guest) on September 30, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on September 4, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Esther Nyambura (Guest) on August 23, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Khalifa (Guest) on August 22, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Nyambura (Guest) on August 12, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on June 1, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kazija (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on April 7, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More