Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Simu ilivyozua utata

Featured Image

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuwa na kupiga) Mtoto…Mama simu ya baba imepokelewa na mwanamke. (Mama kwa hasira) Akirud atanitambua leo. (Baada ya muda kidogo baba akarud,kufika mlangon tu kapokewa na sufuria ya kichwa. Hajakaa vzur mwiko wa pua) Mama..Mwanangu ulipopiga simu ya babako mwanamke wake alisemaje?? Mtoto..Alisema mteja unaempigia hapatikan kwa sasa…..

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Mutua (Guest) on November 5, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mrope (Guest) on October 26, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Stephen Malecela (Guest) on September 19, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwakisu (Guest) on September 4, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Faith Kariuki (Guest) on September 2, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Juma (Guest) on August 13, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Mrope (Guest) on August 5, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Agnes Njeri (Guest) on June 21, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on June 13, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Majaliwa (Guest) on June 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 12, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Kendi (Guest) on April 23, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Mushi (Guest) on March 2, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 3, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on January 22, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Janet Sumari (Guest) on December 30, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nassor (Guest) on December 15, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Michael Mboya (Guest) on November 11, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joseph Njoroge (Guest) on October 31, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on October 7, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Rukia (Guest) on October 1, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zulekha (Guest) on September 19, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joy Wacera (Guest) on September 5, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Robert Ndunguru (Guest) on August 23, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on August 23, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 7, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Wafula (Guest) on August 6, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on July 1, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on June 27, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on June 19, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Raha (Guest) on June 5, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Muslima (Guest) on May 3, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Shani (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Hawa (Guest) on April 12, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Linda Karimi (Guest) on February 29, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Maulid (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anthony Kariuki (Guest) on February 15, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 10, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Philip Nyaga (Guest) on February 8, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on February 4, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on December 24, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on October 18, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mzee (Guest) on October 17, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Josephine Nekesa (Guest) on October 9, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on September 24, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zakaria (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Khadija (Guest) on July 18, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Agnes Lowassa (Guest) on July 15, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on July 11, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on July 6, 2015

πŸ˜† Kali sana!

James Mduma (Guest) on June 11, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nyota (Guest) on May 17, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Related Posts

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More