Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Wanyama (Guest) on October 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on September 22, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 11, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Moses Mwita (Guest) on September 10, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ann Wambui (Guest) on August 4, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Carol Nyakio (Guest) on July 24, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on July 15, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on June 28, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Wanjala (Guest) on May 21, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Farida (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on April 24, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wande (Guest) on March 22, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Samuel Were (Guest) on March 19, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Khalifa (Guest) on February 3, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Shamim (Guest) on January 25, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on January 12, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on December 19, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 10, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on November 8, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Nkya (Guest) on October 22, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Shamim (Guest) on October 11, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Daniel Obura (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Issack (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Jacob Kiplangat (Guest) on September 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on August 29, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Maulid (Guest) on August 26, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Benjamin Kibicho (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on July 31, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ali (Guest) on July 24, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Mary Njeri (Guest) on July 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ahmed (Guest) on June 8, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jafari (Guest) on June 1, 2016

Asante Ackyshine

Peter Otieno (Guest) on May 24, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Mallya (Guest) on April 28, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on April 20, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Henry Sokoine (Guest) on April 5, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on March 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Amir (Guest) on March 2, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on February 28, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 19, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Bahati (Guest) on January 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Henry Mollel (Guest) on December 25, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on December 19, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on November 7, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Ibrahim (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jane Muthoni (Guest) on October 5, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on September 16, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Lowassa (Guest) on September 3, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on August 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on August 26, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jacob Kiplangat (Guest) on August 13, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 24, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on May 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More