Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Omari (Guest) on August 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on July 27, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lydia Mutheu (Guest) on July 16, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on July 8, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on June 23, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Farida (Guest) on June 20, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Elizabeth Mrope (Guest) on June 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on May 4, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on April 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on April 24, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on April 19, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on April 12, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Amukowa (Guest) on April 7, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mohamed (Guest) on February 27, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Hellen Nduta (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mjaka (Guest) on December 22, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Benjamin Kibicho (Guest) on December 21, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sekela (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lucy Kimotho (Guest) on October 15, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on September 28, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Kevin Maina (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Sarah Mbise (Guest) on August 27, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on August 26, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Frank Macha (Guest) on July 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mazrui (Guest) on July 25, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on July 24, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on July 24, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Robert Okello (Guest) on July 11, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on June 7, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Andrew Odhiambo (Guest) on May 23, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on May 18, 2018

😊🀣πŸ”₯

Mary Kidata (Guest) on May 18, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Alex Nyamweya (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

David Chacha (Guest) on March 15, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Amina (Guest) on February 7, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Brian Karanja (Guest) on January 13, 2018

🀣πŸ”₯😊

Salum (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Rose Mwinuka (Guest) on December 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on November 14, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on November 3, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on October 23, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Mrope (Guest) on October 22, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lydia Wanyama (Guest) on October 22, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Sumaya (Guest) on October 19, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Samuel Were (Guest) on October 7, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Wilson Ombati (Guest) on September 21, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jamila (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Shamsa (Guest) on August 19, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on August 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on August 11, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Jabir (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

James Kimani (Guest) on August 6, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on July 31, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on July 17, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on June 8, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on June 7, 2017

Asante Ackyshine

Andrew Mahiga (Guest) on May 31, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Anna Sumari (Guest) on May 13, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Related Posts

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More