Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Featured Image

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anakusikiliza? Jamaa akajibu; hapana, ninaomba kumuombea dedication wimbo wa R.Kelly usemao "U SAVED ME" umfikie popote alipo!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Anyango (Guest) on December 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on November 8, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on November 2, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on October 28, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Muslima (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Aoko (Guest) on October 14, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on October 5, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Janet Mwikali (Guest) on September 6, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 4, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Alice Mrema (Guest) on July 16, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nyota (Guest) on July 7, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Omari (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Minja (Guest) on June 1, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ann Wambui (Guest) on May 27, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Grace Majaliwa (Guest) on May 15, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on May 14, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Sumari (Guest) on March 26, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Rehema (Guest) on December 29, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Tabu (Guest) on December 9, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on November 20, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on November 10, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on August 28, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on August 12, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Yusuf (Guest) on July 21, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Stephen Malecela (Guest) on July 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on July 6, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on June 29, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Janet Mbithe (Guest) on June 6, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kendi (Guest) on June 5, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Paul Ndomba (Guest) on May 17, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on April 23, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on March 13, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 28, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Yahya (Guest) on January 2, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Zulekha (Guest) on December 15, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sarah Karani (Guest) on December 7, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

George Tenga (Guest) on November 26, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on November 24, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Janet Mwikali (Guest) on November 20, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on November 6, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Josephine Nduta (Guest) on October 27, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Ramadhan (Guest) on October 12, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Mligo (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kikwete (Guest) on October 6, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Catherine Mkumbo (Guest) on October 1, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rahim (Guest) on August 28, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jane Muthoni (Guest) on August 22, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on May 28, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sharifa (Guest) on May 26, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More