Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia anachokisema Madenge sasa

Featured Image

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke yake.

MWALIMU: Wewe ndio mjinga?

MADENGE: Hapana, ila nimeona umesimama peke yako nikaona usijisikie vibaya angalau tuwe wawili.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zubeida (Guest) on June 4, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joseph Kitine (Guest) on June 3, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on May 16, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salma (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Patrick Akech (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 20, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on April 17, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on April 14, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on April 6, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Charles Mrope (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jamila (Guest) on February 15, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on February 13, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on January 9, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Halimah (Guest) on December 25, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Francis Njeru (Guest) on December 24, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Malisa (Guest) on December 15, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarah Mbise (Guest) on November 24, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Athumani (Guest) on November 6, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on September 13, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Emily Chepngeno (Guest) on September 3, 2016

Asante Ackyshine

Zainab (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Emily Chepngeno (Guest) on August 24, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on August 17, 2016

😊🀣πŸ”₯

Jane Muthui (Guest) on August 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on June 29, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on June 21, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Agnes Njeri (Guest) on June 10, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Juma (Guest) on June 3, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 5, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on March 27, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Arifa (Guest) on March 12, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Alice Jebet (Guest) on February 16, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 6, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Monica Adhiambo (Guest) on January 18, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 5, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Halimah (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on November 28, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kheri (Guest) on September 19, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on September 5, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on September 2, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on August 12, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on July 26, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on July 24, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on July 22, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on July 8, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 30, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Janet Wambura (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Jamila (Guest) on May 23, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on May 22, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on May 20, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on April 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mhina (Guest) on April 7, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Philip Nyaga (Guest) on April 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More