Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enhee…
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesome…
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula….
GIRL: Enhee…na sisi??

BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Josephine Nduta (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Fikiri (Guest) on June 12, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on March 27, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Ochieng (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kawawa (Guest) on December 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on November 9, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on October 26, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Aziza (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Lissu (Guest) on September 26, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

David Musyoka (Guest) on September 25, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salma (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Linda Karimi (Guest) on August 1, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on July 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Salma (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Akoth (Guest) on June 29, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Zakaria (Guest) on June 28, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mtaki (Guest) on May 16, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Faiza (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on April 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mahiga (Guest) on March 19, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on March 14, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Abubakari (Guest) on March 9, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on February 24, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on February 21, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on February 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Christopher Oloo (Guest) on February 14, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Frank Macha (Guest) on February 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Jacob Kiplangat (Guest) on February 7, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Njuguna (Guest) on January 21, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on January 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on January 18, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 22, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on December 11, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Monica Nyalandu (Guest) on November 30, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on November 6, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 3, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mjaka (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Wilson Ombati (Guest) on October 27, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on October 24, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hamida (Guest) on October 8, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Faith Kariuki (Guest) on August 19, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Mwalimu (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Maulid (Guest) on August 16, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rubea (Guest) on July 19, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on May 15, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Irene Makena (Guest) on May 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 7, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More