Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?………… Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?……….. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?……………… Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?……. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?……… Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?…….. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?…… Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?……… Takosa guo ya sikukuu…
(10) Kila ndege ?………….. …Hutua Airport
(11) Bandu bandu ?….. …….Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?… Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?….Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?………. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?…….. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?…. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? …….. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? …………..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?…….. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?….Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?…….. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? ……….Taenda Chadema
(23) Bendera ?……………. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?……. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?………. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? …….. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kijakazi (Guest) on November 19, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Jacob Kiplangat (Guest) on October 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on October 9, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on October 3, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on September 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on September 1, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Ann Wambui (Guest) on August 24, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Paul Kamau (Guest) on July 28, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on July 12, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 26, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nashon (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Robert Okello (Guest) on May 31, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 18, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on February 21, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on January 30, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on January 25, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chum (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Samson Mahiga (Guest) on November 28, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 14, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Hassan (Guest) on November 9, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Mchawi (Guest) on November 7, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on October 31, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nora Lowassa (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 8, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on July 16, 2018

Asante Ackyshine

Francis Mrope (Guest) on July 4, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on July 3, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mustafa (Guest) on June 24, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 19, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Baridi (Guest) on May 9, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

John Lissu (Guest) on April 29, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on April 24, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mushi (Guest) on April 9, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edith Cherotich (Guest) on March 10, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joyce Aoko (Guest) on March 3, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Mwanaidha (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Muslima (Guest) on November 25, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Hekima (Guest) on November 21, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joy Wacera (Guest) on November 19, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Ndunguru (Guest) on November 15, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 5, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zawadi (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Susan Wangari (Guest) on October 24, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on October 19, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on October 9, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Malisa (Guest) on September 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Mwinuka (Guest) on September 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Richard Mulwa (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mtaki (Guest) on July 22, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More