Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samson Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏

Isaac Kiptoo (Guest) on August 15, 2019

😅😂😄

Francis Njeru (Guest) on July 29, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! 😄

Zakaria (Guest) on July 18, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sana—imebamba! 🤣

Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2019

Nimeipenda hii joke! 😄😂

Charles Wafula (Guest) on July 9, 2019

Hii imenikuna sana! 😆😅

Michael Mboya (Guest) on July 5, 2019

😂🤣😊😅

Peter Mwambui (Guest) on April 10, 2019

😂😅

Stephen Mushi (Guest) on April 1, 2019

Hii imenifurahisha sana! 😂😂

Kenneth Murithi (Guest) on March 23, 2019

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Bernard Oduor (Guest) on March 21, 2019

Hii imenibamba sana! 😅🤣

Peter Otieno (Guest) on February 28, 2019

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2019

😂 Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on February 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣

Esther Nyambura (Guest) on February 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

George Tenga (Guest) on January 8, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣

Khadija (Guest) on December 30, 2018

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Mboya (Guest) on December 23, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Nancy Akumu (Guest) on December 5, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂

Wande (Guest) on November 27, 2018

🤣 Kichekesho bora kabisa!

Ali (Guest) on November 16, 2018

😆 Ninakufa hapa!

Josephine Nekesa (Guest) on November 16, 2018

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on November 11, 2018

😂 Lazima nihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Victor Kimario (Guest) on October 25, 2018

😊😂😅👏

Maulid (Guest) on October 14, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣

Hekima (Guest) on September 23, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Alice Jebet (Guest) on September 12, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nora Lowassa (Guest) on September 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏

John Lissu (Guest) on August 28, 2018

😂🤣😆😅

Joseph Njoroge (Guest) on August 19, 2018

😊🤣🔥

Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018

😆 Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on July 6, 2018

😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Halimah (Guest) on June 2, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Chris Okello (Guest) on June 1, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣

George Wanjala (Guest) on May 31, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏

George Ndungu (Guest) on May 6, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆

Vincent Mwangangi (Guest) on May 5, 2018

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Lucy Mushi (Guest) on May 2, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆

Muslima (Guest) on April 27, 2018

😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Elizabeth Malima (Guest) on April 26, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆

Josephine Nduta (Guest) on April 20, 2018

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂

Sarafina (Guest) on March 13, 2018

😄 Dhahabu ya vichekesho!

Violet Mumo (Guest) on March 12, 2018

😅😂👌😊

Agnes Njeri (Guest) on February 28, 2018

Sikutarajia hiyo punchline—kichekesho! 🤣

Josephine Nduta (Guest) on February 24, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

Edward Chepkoech (Guest) on February 8, 2018

😂🤣😆👏

Moses Mwita (Guest) on January 31, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

Agnes Sumaye (Guest) on January 12, 2018

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏

Moses Kipkemboi (Guest) on January 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅

David Musyoka (Guest) on January 1, 2018

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jane Muthui (Guest) on December 22, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂

Diana Mumbua (Guest) on December 12, 2017

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Mariam (Guest) on December 9, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 30, 2017

Umesema kweli! 👌😂

Peter Otieno (Guest) on November 12, 2017

🤣🤣😄😆

Janet Mbithe (Guest) on October 17, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

Violet Mumo (Guest) on August 24, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

Related Posts

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia 😂😂😂

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia 😂😂😂

Marafiki wawili (Jose na Ben) walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu 👧 girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu 👧 girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandika MBWA​MKALI kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More