Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana."
Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"

Zuzu akatabasamu. Akaendelea kuongea kabla sijafanikiwa kumzuia. "Kweli kabisa anko. Vitu vinavyoanza na K ni vitamu sana kwa mfano kuku, kalimati, keki, kabab, katleti, kashata, kisheti na karoti."
Nikashusha pumzi. "Ahaa! Kumbe ndo hivyo, ni kweli!"

Zuzu akanitupia swali. "Kwani we anko ulidhani nini?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Akech (Guest) on June 29, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on June 2, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on May 8, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Andrew Mchome (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 22, 2024

😊🀣πŸ”₯

Frank Sokoine (Guest) on February 27, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Mariam Kawawa (Guest) on February 25, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on January 26, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Victor Kimario (Guest) on December 27, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on December 11, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Mrema (Guest) on December 9, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nyota (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on December 7, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on October 26, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Mwinuka (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Benjamin Masanja (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

John Lissu (Guest) on August 29, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Abubakar (Guest) on August 24, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mwagonda (Guest) on August 6, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mwagonda (Guest) on July 23, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Lucy Mushi (Guest) on June 17, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on May 31, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 28, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on May 24, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on April 15, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Akech (Guest) on April 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ramadhan (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Frank Macha (Guest) on April 1, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on March 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Musyoka (Guest) on March 15, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Tabu (Guest) on January 30, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Njeri (Guest) on January 29, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Jaffar (Guest) on January 24, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mariam Kawawa (Guest) on December 26, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on October 28, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

George Tenga (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on September 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on August 25, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on August 11, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

James Malima (Guest) on August 2, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on July 27, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Stephen Amollo (Guest) on July 21, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on June 27, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Ndungu (Guest) on June 7, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on May 31, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on May 18, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwakisu (Guest) on May 4, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Lucy Mushi (Guest) on April 11, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Sekela (Guest) on March 15, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 27, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Daniel Obura (Guest) on January 30, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on January 7, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on January 3, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Issa (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Mbise (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More