Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tabia za wachepukaji

Featured Image

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila
wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima
akwambie hebu
kwanza…….
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata
iweje….anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa
kwa majina ya
kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara
kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu
anafuta dial no
haraka.
11.Always yuko na simu…..hadi bafuni
ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu
simu….anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa
mara
kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture
na akikuweka
humalizi masaa anakudampu huko
Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja
kabisa
Share na washikaji zako😜😜😜😜😜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Vincent Mwangangi (Guest) on August 29, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜† Kali sana!

David Sokoine (Guest) on August 10, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mhina (Guest) on July 12, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Kijakazi (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alex Nakitare (Guest) on June 22, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on June 10, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on May 25, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Chris Okello (Guest) on May 24, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

George Tenga (Guest) on May 19, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

John Lissu (Guest) on May 5, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on April 28, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on April 26, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on April 26, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on April 22, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Jackson Makori (Guest) on March 21, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on February 20, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Mrope (Guest) on February 2, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Victor Mwalimu (Guest) on January 30, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Maneno (Guest) on January 17, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Grace Minja (Guest) on January 12, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Makame (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Sharon Kibiru (Guest) on December 18, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Sharon Kibiru (Guest) on December 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sarah Mbise (Guest) on November 30, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Chris Okello (Guest) on October 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on October 12, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sumaya (Guest) on October 7, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Shamim (Guest) on August 23, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on August 20, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Andrew Mchome (Guest) on July 5, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on July 4, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Daniel Obura (Guest) on June 29, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Kendi (Guest) on June 29, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on June 18, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on May 23, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on May 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Kassim (Guest) on May 1, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Peter Mwambui (Guest) on April 23, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on April 20, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Salma (Guest) on April 19, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mjaka (Guest) on April 12, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Charles Mboje (Guest) on March 10, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kahina (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Philip Nyaga (Guest) on January 31, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwajuma (Guest) on December 17, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mustafa (Guest) on December 13, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Otieno (Guest) on December 13, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Sultan (Guest) on December 4, 2017

Asante Ackyshine

Lucy Mahiga (Guest) on October 23, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on September 14, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Andrew Mchome (Guest) on August 31, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on August 23, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Francis Njeru (Guest) on August 9, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More