Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much.
Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda?
Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka.
Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite?
Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
Mwenyeji: Utakunywa na keki au mkate?
Mgeni: Nipe keki mkate nitanywea chai ikishachemka.
Mwenyeji: Utapendelea ndiz au machungwa,
Mgeni: Nipe machungwa ndizi ntakula na wali
mchana.
Chezea mgeni ww.!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mgeni (Guest) on August 3, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Lissu (Guest) on July 27, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Salima (Guest) on July 18, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kevin Maina (Guest) on May 28, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

George Mallya (Guest) on March 27, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nchi (Guest) on March 13, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on March 9, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

James Malima (Guest) on March 1, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on February 12, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on February 1, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Wilson Ombati (Guest) on December 31, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on December 30, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 10, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 8, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on November 4, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on August 29, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on August 21, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on August 20, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mazrui (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Rahma (Guest) on July 20, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joseph Kawawa (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Frank Macha (Guest) on May 30, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on May 25, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Issack (Guest) on May 7, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Aoko (Guest) on April 17, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sultan (Guest) on April 13, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on February 21, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwakisu (Guest) on February 5, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwagonda (Guest) on January 2, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on December 30, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on December 10, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on November 1, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Edith Cherotich (Guest) on October 17, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on October 16, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mwanaisha (Guest) on September 28, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Shamim (Guest) on September 25, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Kimario (Guest) on September 14, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on August 24, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on August 19, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Paul Ndomba (Guest) on August 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on August 9, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on June 30, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on May 7, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Mwangi (Guest) on April 1, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Sumari (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Janet Sumari (Guest) on March 4, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on February 16, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Maimuna (Guest) on February 7, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Jacob Kiplangat (Guest) on February 4, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on January 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on January 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on December 6, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 3, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Wilson Ombati (Guest) on October 19, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Kikwete (Guest) on October 5, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on October 2, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Tambwe (Guest) on August 10, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Related Posts

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More