Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Featured Image
Phone call
gal: hellow
Boy: sweety mambo vipi?
Girl: poa
Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka uje nyumbani
Girl: oh sorry ctoweza kuja sababu kuna haruc ya aunt yangu
Boy: kama ni hivyo sawa nilikuwa nataka nikufanyie sapraiz nimekununulia BLACKBERRY.
Girl: oh ucjal ntakuja na hata ntalala huko huko
Boy: na haruc je?
Girl: nilikuwa nakutania
Boy: hata mi nilikuwa nakutania
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Mutua (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on October 8, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on August 12, 2019

Asante Ackyshine

Frank Macha (Guest) on August 11, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on July 24, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 22, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Faiza (Guest) on May 27, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sharon Kibiru (Guest) on May 25, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on May 7, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jamal (Guest) on April 29, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

George Mallya (Guest) on April 25, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Daniel Obura (Guest) on April 19, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 13, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Rehema (Guest) on April 12, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Njeru (Guest) on March 29, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rose Amukowa (Guest) on March 28, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on March 20, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Mrema (Guest) on March 9, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on February 16, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on February 15, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on February 12, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Frank Macha (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Otieno (Guest) on January 29, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on January 11, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Hamida (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Kimario (Guest) on January 2, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Ali (Guest) on December 30, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Abdullah (Guest) on December 23, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alex Nyamweya (Guest) on December 22, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on November 29, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Safiya (Guest) on November 19, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Fadhili (Guest) on August 26, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 18, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on August 14, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on July 28, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Akech (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Mwangi (Guest) on July 8, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on July 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on June 19, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Janet Wambura (Guest) on June 12, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on June 8, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on June 7, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Ruth Kibona (Guest) on June 1, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on May 23, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

George Ndungu (Guest) on May 23, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on May 9, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Farida (Guest) on April 22, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Grace Majaliwa (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nchi (Guest) on April 9, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Mwangi (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Kevin Maina (Guest) on January 16, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on December 24, 2017

🀣πŸ”₯😊

James Mduma (Guest) on December 15, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on December 2, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on November 18, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on September 1, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 31, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ibrahim (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Mchome (Guest) on August 13, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on August 8, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More