Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Featured Image
Bangi si mchezo!
Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo!
Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti!
then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Onyango (Guest) on March 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Catherine Naliaka (Guest) on February 29, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Mchome (Guest) on February 23, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rehema (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Faith Kariuki (Guest) on January 16, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on January 15, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Carol Nyakio (Guest) on December 27, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Leila (Guest) on November 27, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nancy Akumu (Guest) on November 22, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mboje (Guest) on October 19, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 20, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on July 20, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alex Nakitare (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Maida (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Rose Mwinuka (Guest) on June 11, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Fadhili (Guest) on May 11, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on March 28, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Arifa (Guest) on February 4, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Mchome (Guest) on February 3, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Otieno (Guest) on January 28, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on January 11, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 23, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Francis Mtangi (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on October 25, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on September 5, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on August 9, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on August 8, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mary Njeri (Guest) on July 19, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on July 4, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on June 18, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 30, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 20, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rahim (Guest) on April 30, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lucy Wangui (Guest) on April 22, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Shamsa (Guest) on April 20, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Paul Ndomba (Guest) on February 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on February 18, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mariam Kawawa (Guest) on February 12, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on February 7, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Fatuma (Guest) on December 14, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Linda Karimi (Guest) on December 9, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Ann Awino (Guest) on September 9, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on September 4, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Abdullah (Guest) on August 10, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Monica Nyalandu (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Hawa (Guest) on August 3, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on July 26, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwachumu (Guest) on July 16, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Catherine Mkumbo (Guest) on July 10, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on June 29, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Mahiga (Guest) on June 3, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Mwangi (Guest) on May 7, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Khalifa (Guest) on March 26, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

James Kimani (Guest) on March 19, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More