Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?





JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kawawa (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on December 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on November 22, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on November 7, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Lissu (Guest) on November 5, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on September 2, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on August 22, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on July 27, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Njoroge (Guest) on June 8, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 12, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on April 11, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Paul Kamau (Guest) on March 31, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 10, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Grace Minja (Guest) on March 3, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 20, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 8, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwanahawa (Guest) on January 17, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Joyce Mussa (Guest) on January 16, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Musyoka (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Tabitha Okumu (Guest) on December 27, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

James Kawawa (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on December 15, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 10, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Majid (Guest) on November 25, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lydia Mutheu (Guest) on November 20, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on November 5, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on November 4, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on October 10, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Nyerere (Guest) on September 20, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Maimuna (Guest) on September 5, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on August 23, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Ann Awino (Guest) on August 12, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 12, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on August 11, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Francis Mtangi (Guest) on August 10, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Edward Lowassa (Guest) on July 3, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on June 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Martin Otieno (Guest) on May 3, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on March 27, 2018

😊🀣πŸ”₯

Mwanais (Guest) on March 26, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Achieng (Guest) on March 25, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rose Kiwanga (Guest) on March 11, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on March 6, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Michael Onyango (Guest) on February 11, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on January 24, 2018

🀣πŸ”₯😊

Patrick Mutua (Guest) on January 3, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Irene Makena (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 17, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on December 15, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Chris Okello (Guest) on November 17, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 6, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Irene Akoth (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaisha (Guest) on September 27, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwinyi (Guest) on August 9, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Josephine Nekesa (Guest) on June 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Kimario (Guest) on June 21, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More