Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Ndunguru (Guest) on December 2, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mwafirika (Guest) on October 30, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 4, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on October 2, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on October 2, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

John Mushi (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on August 7, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on August 6, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on July 26, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 15, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Nuru (Guest) on June 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 18, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on May 11, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on May 3, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on March 2, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Patrick Kidata (Guest) on February 23, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Biashara (Guest) on February 20, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Janet Sumari (Guest) on February 18, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 3, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mohamed (Guest) on January 29, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Kenneth Murithi (Guest) on January 20, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Tabu (Guest) on January 18, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Bahati (Guest) on January 18, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Komba (Guest) on January 1, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on December 3, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on December 1, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Maulid (Guest) on November 4, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joyce Nkya (Guest) on September 27, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on September 11, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on September 10, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 27, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on July 5, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Wafula (Guest) on June 23, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on June 5, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Sumaya (Guest) on May 19, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Sokoine (Guest) on April 23, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on February 12, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on January 27, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on November 14, 2017

🀣πŸ”₯😊

Moses Mwita (Guest) on November 6, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anna Sumari (Guest) on October 27, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Tabitha Okumu (Guest) on October 24, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Margaret Anyango (Guest) on September 27, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Jebet (Guest) on September 24, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on August 21, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on July 27, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on July 11, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Edward Chepkoech (Guest) on June 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on June 2, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Hawa (Guest) on May 19, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Kheri (Guest) on May 18, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwanaidha (Guest) on April 27, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on April 23, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Related Posts

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More