Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Ndunguru (Guest) on December 2, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mwafirika (Guest) on October 30, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 4, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on October 2, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on October 2, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

John Mushi (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on August 7, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on August 6, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on July 26, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 15, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Nuru (Guest) on June 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 18, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on May 11, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on May 3, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on March 2, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Patrick Kidata (Guest) on February 23, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Biashara (Guest) on February 20, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Janet Sumari (Guest) on February 18, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 3, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mohamed (Guest) on January 29, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Kenneth Murithi (Guest) on January 20, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Tabu (Guest) on January 18, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Bahati (Guest) on January 18, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Komba (Guest) on January 1, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on December 3, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on December 1, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Maulid (Guest) on November 4, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joyce Nkya (Guest) on September 27, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on September 11, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on September 10, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 27, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on July 5, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Wafula (Guest) on June 23, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on June 5, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Sumaya (Guest) on May 19, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Sokoine (Guest) on April 23, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on February 12, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on January 27, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on November 14, 2017

🀣πŸ”₯😊

Moses Mwita (Guest) on November 6, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anna Sumari (Guest) on October 27, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Tabitha Okumu (Guest) on October 24, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Margaret Anyango (Guest) on September 27, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Jebet (Guest) on September 24, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on August 21, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on July 27, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on July 11, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Edward Chepkoech (Guest) on June 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on June 2, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Hawa (Guest) on May 19, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Kheri (Guest) on May 18, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwanaidha (Guest) on April 27, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on April 23, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Related Posts

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More