Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Salma (Guest) on December 9, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Sokoine (Guest) on December 8, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jafari (Guest) on November 28, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edward Lowassa (Guest) on November 14, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ruth Mtangi (Guest) on October 30, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 12, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthui (Guest) on September 25, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 12, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Hassan (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Wairimu (Guest) on July 29, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on July 28, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahim (Guest) on July 26, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Sumari (Guest) on July 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Diana Mallya (Guest) on June 23, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on June 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mwinyi (Guest) on May 18, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Philip Nyaga (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Shukuru (Guest) on May 6, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Chacha (Guest) on April 19, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mashaka (Guest) on March 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Peter Otieno (Guest) on February 17, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on February 8, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Betty Kimaro (Guest) on January 18, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Maimuna (Guest) on January 14, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Kawawa (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 19, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

George Mallya (Guest) on November 9, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 3, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on October 20, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on September 25, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on September 22, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mwachumu (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Sumaye (Guest) on August 29, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 22, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on June 20, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Christopher Oloo (Guest) on June 20, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on May 30, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Salum (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on May 13, 2018

Asante Ackyshine

Patrick Kidata (Guest) on May 9, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on April 18, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on April 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on April 3, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on March 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on March 15, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Maulid (Guest) on March 12, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on December 31, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rahim (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Hawa (Guest) on December 12, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Umi (Guest) on December 7, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on November 27, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on November 12, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joyce Aoko (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on October 28, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More