Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Featured Image

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wakati niponatafakari hiyo bei, nikasikia "Moro, Moro,Morogoro sh.6,000/="

Nikaamua nipande niende zangu MOROGORO.
Kwenda na kurudi sh.12,000/=.
Wakati wa kurudi nikamwmbia KONDA aniteremshe KIMARA.

SIPENDAGI UJINGA MIMI NA BEI ZA TEKSI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Nkya (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mahiga (Guest) on November 3, 2019

😊🀣πŸ”₯

Peter Mbise (Guest) on October 5, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on August 15, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Linda Karimi (Guest) on August 8, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jackson Makori (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Hashim (Guest) on July 9, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Omar (Guest) on July 7, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Wanjala (Guest) on June 10, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nyota (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on April 21, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on March 27, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Sekela (Guest) on March 27, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mgeni (Guest) on March 15, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rahma (Guest) on March 8, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on February 28, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Sumaye (Guest) on December 28, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Ann Awino (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Anyango (Guest) on December 5, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 26, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on October 14, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

George Ndungu (Guest) on September 22, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on September 6, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on August 18, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mwagonda (Guest) on August 4, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Arifa (Guest) on August 3, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on July 7, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on July 4, 2018

Asante Ackyshine

Alice Mwikali (Guest) on June 23, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on June 17, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Khatib (Guest) on May 11, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Ndoto (Guest) on April 26, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mwanakhamis (Guest) on April 21, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Chum (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Michael Onyango (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Emily Chepngeno (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 7, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Margaret Anyango (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Wanjiru (Guest) on October 28, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on October 21, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

David Sokoine (Guest) on October 11, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mbithe (Guest) on October 2, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on August 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on August 11, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on July 22, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on July 5, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on July 4, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mchome (Guest) on June 5, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on May 14, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sarah Mbise (Guest) on March 30, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 28, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Musyoka (Guest) on March 16, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on January 30, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on January 3, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Related Posts

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More