Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Diana Mumbua (Guest) on July 9, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Cheruiyot (Guest) on June 11, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on May 18, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on April 30, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on April 21, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Khalifa (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Carol Nyakio (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joseph Njoroge (Guest) on April 3, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on March 29, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on February 28, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on December 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on October 10, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on October 6, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on September 30, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on July 17, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Shukuru (Guest) on July 2, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mercy Atieno (Guest) on July 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mary Kendi (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on May 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 5, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 23, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Hellen Nduta (Guest) on April 9, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 21, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on February 11, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Kabura (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on January 4, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwakisu (Guest) on December 14, 2018

Asante Ackyshine

Victor Mwalimu (Guest) on December 12, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Latifa (Guest) on December 6, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Saidi (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrema (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on September 14, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on August 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Zakia (Guest) on August 8, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on August 7, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Wilson Ombati (Guest) on August 3, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Kimaro (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jane Muthoni (Guest) on June 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Kawawa (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Sokoine (Guest) on April 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on April 14, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Saidi (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Otieno (Guest) on March 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on February 26, 2018

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Abubakar (Guest) on January 18, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nuru (Guest) on December 30, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on December 23, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on December 12, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Macha (Guest) on December 6, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Malima (Guest) on November 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on November 15, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mariam (Guest) on November 9, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More