Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Featured Image

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

*Ishawahi kutokea Pale nilipokutana njiani na mwalimu aliyekufundisha MATHS secondary afu akaniambia nimuelekeze njia ya kwenda sehemu fulani.*

*_Nenda mbele kama 2KM hivi kisha kata kushoto,ila hakikisha ANGLE inakuwa ni 30.5 KUSINI MASHARIKI.Kisha tumia PYTHAGORAS na hakikisha una FOUR FIGURE ili kupata thamani ya ANGLE._*

*Mwalimu alisonya na kuondoka.*πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜’πŸ˜’

*Stakagi ujinga kabisa mimi, wakati ananichapa alifikiri sifa*πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸ˜…πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½ *Mniache Tuu Mimi Sio Kwa Bifu Ilo Aiseee*πŸƒπŸΎ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kahina (Guest) on January 8, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Njeri (Guest) on December 14, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on December 13, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mtei (Guest) on November 28, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on October 6, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rose Lowassa (Guest) on September 24, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Sarah Karani (Guest) on September 15, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Maida (Guest) on September 13, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

John Mushi (Guest) on August 24, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on August 20, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on July 21, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Bernard Oduor (Guest) on June 11, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on June 10, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on May 31, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Lissu (Guest) on May 27, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 23, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Anna Mahiga (Guest) on May 5, 2019

😊🀣πŸ”₯

Susan Wangari (Guest) on April 21, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rahim (Guest) on April 17, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mgeni (Guest) on February 25, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Amukowa (Guest) on January 30, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on January 23, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 20, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 19, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanais (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ibrahim (Guest) on January 1, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Ahmed (Guest) on December 27, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Monica Nyalandu (Guest) on November 21, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Fadhili (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elijah Mutua (Guest) on October 29, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Irene Akoth (Guest) on September 24, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on September 8, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on September 2, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on September 2, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Robert Ndunguru (Guest) on July 30, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Selemani (Guest) on July 30, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

John Kamande (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on July 25, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on July 12, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on July 9, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Sokoine (Guest) on June 4, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Hekima (Guest) on May 26, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on May 5, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Selemani (Guest) on May 3, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Esther Nyambura (Guest) on April 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Daniel Obura (Guest) on March 14, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on March 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on March 2, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on February 28, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Edith Cherotich (Guest) on December 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on December 20, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Malisa (Guest) on November 18, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwakisu (Guest) on November 18, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Malisa (Guest) on November 15, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on November 10, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on November 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More