Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Featured Image

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria kusachiwa na majambaz hao na kukutwa hawana pesa, majambaz wakasema kila m2 atapigwa viboko (bakora) kutokana na namba ya shati alilovaa
Aliyekua hana namba atasalimika
Kaz ikaanza, jamaa alievaa jez ya ROONEY wa Man U akapigwa fimbo 10, mwengine alievaa nguo ya 50cent akapigwa 50, n.k, sasa kwa pemben kulikua na jamaa analia sn yaani kila akijiangalia, kumbe alikua amevaa fulana limeandikwa LOWASA 2015 duuuh! Unajua kilichotokea ngoja niweke cm chaji kwanza.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Anyango (Guest) on June 28, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on June 20, 2019

Asante Ackyshine

Shabani (Guest) on June 17, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Victor Mwalimu (Guest) on June 15, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on June 10, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on May 4, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Sharifa (Guest) on May 1, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Kheri (Guest) on April 15, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

John Lissu (Guest) on April 10, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on February 15, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sarafina (Guest) on January 30, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on January 19, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on January 16, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on December 30, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on December 23, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on December 18, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on November 5, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

David Sokoine (Guest) on September 27, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ibrahim (Guest) on August 27, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rose Waithera (Guest) on August 23, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 24, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on July 10, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Patrick Akech (Guest) on July 6, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Martin Otieno (Guest) on June 14, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine Nduta (Guest) on May 20, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on May 2, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Athumani (Guest) on April 27, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Thomas Mtaki (Guest) on April 20, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mariam Kawawa (Guest) on March 28, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on March 6, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Yahya (Guest) on March 5, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Warda (Guest) on February 24, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Kevin Maina (Guest) on February 20, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Ruth Kibona (Guest) on February 12, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on January 12, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Maulid (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jackson Makori (Guest) on December 19, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on December 19, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

James Mduma (Guest) on December 17, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on November 21, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on November 10, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on October 21, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on October 3, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Sarah Karani (Guest) on September 26, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on September 10, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 1, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joy Wacera (Guest) on August 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on August 10, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mariam Kawawa (Guest) on August 6, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on August 1, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mwanaidha (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Rahim (Guest) on May 24, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Betty Akinyi (Guest) on May 11, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Njoroge (Guest) on May 11, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on May 7, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Brian Karanja (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on April 19, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More