Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abubakar (Guest) on November 22, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Isaac Kiptoo (Guest) on November 20, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Zulekha (Guest) on October 6, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Martin Otieno (Guest) on September 19, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on August 25, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Miriam Mchome (Guest) on July 14, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Nkya (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on July 3, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Kazija (Guest) on June 21, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwalimu (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on May 13, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Amir (Guest) on May 13, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Janet Sumari (Guest) on April 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Malima (Guest) on April 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Susan Wangari (Guest) on April 2, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Azima (Guest) on March 31, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Sarah Mbise (Guest) on March 13, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hamida (Guest) on March 12, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on March 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwakisu (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kiwanga (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Akech (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Malela (Guest) on January 24, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on January 22, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on January 16, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on January 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on January 4, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on December 31, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rahma (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Grace Mushi (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarafina (Guest) on December 1, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Malecela (Guest) on November 27, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Henry Sokoine (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jafari (Guest) on September 23, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on September 10, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Raphael Okoth (Guest) on August 5, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on August 5, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mazrui (Guest) on July 27, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on April 14, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on April 14, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on March 27, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Francis Njeru (Guest) on February 22, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 17, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on February 13, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on January 23, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 30, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 27, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on December 9, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chris Okello (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Margaret Anyango (Guest) on November 27, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Related Posts

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More