Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Featured Image

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka…

Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka. Watu wakamuullza, unacheka nini sasa wakati umeachwa? Akawajibu: "kinachonichekesha, yule aliyepanda alikuwa ananisindikiza.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Kibona (Guest) on May 7, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Amani (Guest) on May 5, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Okello (Guest) on April 11, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on April 9, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on April 4, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on April 3, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on March 31, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on March 21, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on March 17, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Fredrick Mutiso (Guest) on February 27, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mercy Atieno (Guest) on February 22, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

George Wanjala (Guest) on February 18, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Halima (Guest) on February 12, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on January 28, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on January 21, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on December 12, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jabir (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Selemani (Guest) on October 25, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 21, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Malima (Guest) on July 31, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on July 25, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Michael Mboya (Guest) on July 21, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Wafula (Guest) on June 25, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on June 24, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on May 21, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Susan Wangari (Guest) on May 20, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on May 16, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on May 16, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on May 14, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ndoto (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Wairimu (Guest) on April 2, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Joyce Mussa (Guest) on February 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Bakari (Guest) on January 22, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Kazija (Guest) on January 19, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mtumwa (Guest) on January 17, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on January 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 30, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on December 27, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Abubakar (Guest) on December 6, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on November 14, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on November 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Zubeida (Guest) on October 9, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on October 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on August 28, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on August 22, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Kahina (Guest) on July 23, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on July 21, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Mushi (Guest) on July 19, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mohamed (Guest) on July 10, 2017

Asante Ackyshine

Victor Sokoine (Guest) on June 21, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on June 13, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joseph Njoroge (Guest) on June 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on May 27, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on May 13, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Henry Mollel (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Majid (Guest) on March 9, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Janet Sumari (Guest) on March 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More