Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Featured Image
Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla
akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye A.T.M binti
akaamua kujificha na kumtumia boyfriend wake sms ya
kimahaba
"Honey kama upo nyumbani umelala naomba unitumie ndoto
zako,
Kama unakula nitumie chakula, Kama unacheka nitumie kicheko
chako,
Kama unalia nitumie machozi yako,Kama unatoa pesa kwenye
A.T.M nitumie pesa." Boyfriend akajibu "NIKO CHOONI LABDA
NIKUTUMIE KINYESI MPENZI!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Dorothy Nkya (Guest) on July 14, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joyce Nkya (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on July 3, 2019

🀣πŸ”₯😊

Linda Karimi (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mashaka (Guest) on May 28, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nancy Kabura (Guest) on May 17, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on May 3, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on April 30, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Brian Karanja (Guest) on April 29, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on April 20, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on April 4, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on March 8, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on February 26, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on January 29, 2019

😊🀣πŸ”₯

Janet Mwikali (Guest) on December 29, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on December 21, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Kimotho (Guest) on December 12, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Anna Sumari (Guest) on November 18, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on November 11, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on October 29, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on October 18, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Moses Kipkemboi (Guest) on September 26, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Majid (Guest) on September 16, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Faiza (Guest) on September 2, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alice Wanjiru (Guest) on August 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on July 30, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on June 30, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Victor Kamau (Guest) on June 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on June 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mchuma (Guest) on June 14, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mariam Kawawa (Guest) on May 29, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joyce Aoko (Guest) on April 29, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on March 16, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Moses Kipkemboi (Guest) on March 5, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on March 1, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on February 24, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Chum (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Lucy Mahiga (Guest) on February 15, 2018

Asante Ackyshine

Nora Kidata (Guest) on February 5, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on January 20, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on January 19, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Janet Mbithe (Guest) on January 2, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Frank Macha (Guest) on January 2, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on December 28, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 14, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Sofia (Guest) on December 8, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Patrick Kidata (Guest) on November 29, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on November 26, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on November 18, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on November 12, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on October 13, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on October 7, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anthony Kariuki (Guest) on September 29, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on August 26, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Irene Makena (Guest) on July 5, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on June 2, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Joseph Mallya (Guest) on May 19, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More