Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?

Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.

Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Minja (Guest) on January 11, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on January 10, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Sekela (Guest) on December 15, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Mduma (Guest) on December 9, 2019

😊🀣πŸ”₯

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumaye (Guest) on October 12, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Victor Kamau (Guest) on September 28, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on August 28, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on August 27, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on August 18, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on August 9, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Simon Kiprono (Guest) on July 5, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Simon Kiprono (Guest) on June 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on May 26, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on May 18, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mbise (Guest) on May 14, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Hassan (Guest) on May 5, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on April 21, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on April 17, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Maneno (Guest) on April 6, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Lydia Mutheu (Guest) on March 29, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Salma (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ann Wambui (Guest) on February 22, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on January 27, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Elizabeth Malima (Guest) on January 16, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Miriam Mchome (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on December 30, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on December 26, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Charles Mchome (Guest) on December 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jabir (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Malisa (Guest) on December 4, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on November 9, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Farida (Guest) on November 7, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Victor Kamau (Guest) on October 18, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Violet Mumo (Guest) on October 15, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on October 7, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Wilson Ombati (Guest) on September 29, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on September 26, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on September 3, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Janet Wambura (Guest) on July 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mzee (Guest) on June 28, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Sumari (Guest) on June 23, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on April 15, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam (Guest) on March 8, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Ruth Kibona (Guest) on March 8, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on February 6, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Zubeida (Guest) on February 2, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Robert Okello (Guest) on January 23, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Njuguna (Guest) on December 28, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwajuma (Guest) on December 10, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on December 8, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Shamsa (Guest) on November 25, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mrope (Guest) on October 31, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on October 29, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Malisa (Guest) on October 28, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Frank Macha (Guest) on October 24, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on August 9, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on August 8, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More