Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on June 10, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Masika (Guest) on May 26, 2022

🤣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on April 25, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! 🤣😂

David Musyoka (Guest) on April 11, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂

Abdullah (Guest) on April 10, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Ruth Wanjiku (Guest) on April 5, 2022

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Andrew Mahiga (Guest) on March 30, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂

Stephen Mushi (Guest) on March 14, 2022

👏🤣😆😂

Joy Wacera (Guest) on March 3, 2022

😆😂😊

Victor Malima (Guest) on March 2, 2022

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Grace Mushi (Guest) on February 16, 2022

Hii imenichekesha sana! 😄😂

Rose Waithera (Guest) on February 8, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Elijah Mutua (Guest) on January 18, 2022

😂🤣

Neema (Guest) on November 22, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Grace Minja (Guest) on November 15, 2021

🤣 Sikutarajia hiyo!

Simon Kiprono (Guest) on November 14, 2021

😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Charles Wafula (Guest) on October 11, 2021

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Baraka (Guest) on October 10, 2021

😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 4, 2021

Hii ni joke ya maana sana! 😂👌

Emily Chepngeno (Guest) on September 27, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥

Omar (Guest) on September 6, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Victor Kimario (Guest) on August 26, 2021

😂👏😅🤣

Sarah Achieng (Guest) on August 21, 2021

😊😂🤣

John Mwangi (Guest) on August 10, 2021

😂👌

Margaret Mahiga (Guest) on July 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂

Nancy Kawawa (Guest) on June 24, 2021

😂😂🤣

Grace Mushi (Guest) on June 15, 2021

😂 Ninaihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on May 21, 2021

Napenda jokes zenu! 😊😅

Esther Nyambura (Guest) on May 10, 2021

😂👌😆😊

Kazija (Guest) on April 26, 2021

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Robert Ndunguru (Guest) on April 17, 2021

😄 Umenishika vizuri!

Jabir (Guest) on March 15, 2021

🤣 Hii imenigonga vizuri!

Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2021

😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 17, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂

Francis Njeru (Guest) on January 27, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! 😃

Rose Lowassa (Guest) on December 9, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Grace Minja (Guest) on December 2, 2020

Umetisha! 👌😂

Chris Okello (Guest) on November 8, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! 😄

Joyce Mussa (Guest) on October 28, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Aziza (Guest) on October 20, 2020

😆 Nacheka hadi chini!

Lucy Mushi (Guest) on August 30, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆

Habiba (Guest) on August 19, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂

Lucy Mahiga (Guest) on August 11, 2020

🤣😭😆

Agnes Njeri (Guest) on July 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂

Mariam Kawawa (Guest) on June 26, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊

Stephen Amollo (Guest) on June 22, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Brian Karanja (Guest) on June 11, 2020

😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2020

😂😂

Philip Nyaga (Guest) on May 5, 2020

😆😅😂

Baraka (Guest) on April 14, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Zakia (Guest) on April 3, 2020

😆 Naihifadhi hii!

Margaret Anyango (Guest) on March 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Mchuma (Guest) on March 15, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄

Henry Sokoine (Guest) on February 1, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆

Edith Cherotich (Guest) on November 13, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Jafari (Guest) on November 12, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Mercy Atieno (Guest) on November 6, 2019

Hii imenikuna! 😆😊

Fadhila (Guest) on October 23, 2019

🤣 Hii imewaka moto!

Kenneth Murithi (Guest) on October 13, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Related Posts

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani ⛪

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani ⛪

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA : Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More