Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Njeri (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on June 11, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Betty Akinyi (Guest) on May 19, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on April 14, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Wanjala (Guest) on April 2, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Emily Chepngeno (Guest) on March 30, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on March 21, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

George Tenga (Guest) on February 14, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on January 30, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on January 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on January 18, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

David Nyerere (Guest) on December 31, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Kidata (Guest) on December 21, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jane Malecela (Guest) on November 25, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on November 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Lucy Mushi (Guest) on October 22, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on October 12, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Anna Malela (Guest) on October 11, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Maimuna (Guest) on October 4, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Wafula (Guest) on September 23, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on August 29, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdullah (Guest) on July 25, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Maida (Guest) on June 28, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Mchome (Guest) on May 27, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Fikiri (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on April 15, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Hekima (Guest) on April 3, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Njeru (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elijah Mutua (Guest) on December 23, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Asha (Guest) on December 12, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Alice Jebet (Guest) on October 8, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Latifa (Guest) on October 7, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on October 6, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on September 12, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Patrick Kidata (Guest) on August 23, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Wanjiru (Guest) on August 18, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on July 30, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Salima (Guest) on July 21, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on July 8, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Wambura (Guest) on June 25, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on April 26, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on April 10, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Dorothy Nkya (Guest) on April 7, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on March 23, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on February 29, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

George Tenga (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on January 11, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Yahya (Guest) on January 4, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Peter Otieno (Guest) on January 2, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on December 30, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on November 15, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 9, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on October 7, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Related Posts

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More