Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Esther Cheruiyot (Guest) on January 8, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joseph Njoroge (Guest) on December 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 1, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Margaret Mahiga (Guest) on November 8, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 29, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mwanaidha (Guest) on September 21, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Raphael Okoth (Guest) on September 7, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on September 4, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Malima (Guest) on August 28, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on August 25, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Majaliwa (Guest) on August 14, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Cheruiyot (Guest) on July 2, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on June 21, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on June 15, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Susan Wangari (Guest) on June 13, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on May 30, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 18, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on April 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Martin Otieno (Guest) on April 10, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on April 4, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 29, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on March 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on March 9, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

James Malima (Guest) on February 9, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on February 1, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Otieno (Guest) on January 3, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on December 26, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on December 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Khadija (Guest) on December 17, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Abdillah (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on December 5, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Kidata (Guest) on November 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 13, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on October 14, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on September 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Violet Mumo (Guest) on September 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on August 23, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Andrew Mahiga (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Otieno (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on July 26, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on July 1, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on June 17, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Kikwete (Guest) on June 10, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 9, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Faith Kariuki (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 13, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Henry Sokoine (Guest) on April 28, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Related Posts

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More