Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Esther Cheruiyot (Guest) on January 8, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joseph Njoroge (Guest) on December 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 1, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Margaret Mahiga (Guest) on November 8, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 29, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mwanaidha (Guest) on September 21, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Raphael Okoth (Guest) on September 7, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on September 4, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Malima (Guest) on August 28, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on August 25, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Majaliwa (Guest) on August 14, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Cheruiyot (Guest) on July 2, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on June 21, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on June 15, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Susan Wangari (Guest) on June 13, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on May 30, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 18, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on April 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Martin Otieno (Guest) on April 10, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on April 4, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 29, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on March 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on March 9, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

James Malima (Guest) on February 9, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on February 1, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Otieno (Guest) on January 3, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on December 26, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on December 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Khadija (Guest) on December 17, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Abdillah (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on December 5, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Kidata (Guest) on November 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 13, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on October 14, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on September 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Violet Mumo (Guest) on September 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on August 23, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Andrew Mahiga (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Otieno (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on July 26, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on July 1, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on June 17, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Kikwete (Guest) on June 10, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 9, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Faith Kariuki (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 13, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Henry Sokoine (Guest) on April 28, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Related Posts

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More