Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.

Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.

Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.

Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.

Wakaingia msituni kila mtu njia yake.

… Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.

Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.

Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?”

Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zuhura (Guest) on September 2, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Nyalandu (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joyce Mussa (Guest) on August 6, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on July 31, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on July 29, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine (Guest) on July 24, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Abdullah (Guest) on July 18, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nuru (Guest) on July 8, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on June 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mrema (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Njeri (Guest) on June 3, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Nyerere (Guest) on May 28, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on April 27, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hassan (Guest) on April 11, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on April 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sharifa (Guest) on March 26, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on March 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 6, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on February 28, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Rose Waithera (Guest) on February 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on February 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Abdullah (Guest) on February 13, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Sumaye (Guest) on February 4, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on January 28, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Zawadi (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Richard Mulwa (Guest) on January 14, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Khatib (Guest) on January 2, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 1, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Salum (Guest) on December 11, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Fadhili (Guest) on November 6, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

George Mallya (Guest) on October 10, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on September 22, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on September 9, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 16, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on August 4, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Ali (Guest) on July 21, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on July 17, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on June 10, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on May 14, 2020

Asante Ackyshine

Agnes Njeri (Guest) on April 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on April 16, 2020

😊🀣πŸ”₯

Joyce Mussa (Guest) on April 12, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on March 7, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yusuf (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanais (Guest) on February 16, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on January 5, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Bernard Oduor (Guest) on January 2, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on December 26, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ndoto (Guest) on December 22, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on December 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on November 27, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More