Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Featured Image
Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, kijani. Wale wanawake wakatatizika baada ya mda wakajua ni chupi walizovaa. Wakasema basi kesho tubadilisheni. Siku ya pili wakapita tena kasuku akasema nyeusi, manjano, zambarau. Loh! Wanawake wakastaajabu sana. Wakasema lazima wamshinde yule kasuku kwa hekima. Wakaambiana basi kesho tusivae chupi tuone kama ni kweli anaona mpaka ndani. Siku ilipowadia wakapita mbele ya kasuku akasema- kipilipili, kipara, rasta…
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Tibaijuka (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Patrick Mutua (Guest) on July 1, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Wanjala (Guest) on June 14, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Issack (Guest) on April 29, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on April 28, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Simon Kiprono (Guest) on April 26, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Khamis (Guest) on April 19, 2022

Asante Ackyshine

Paul Kamau (Guest) on April 12, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

George Wanjala (Guest) on March 5, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on February 9, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on December 15, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Charles Wafula (Guest) on November 23, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Malela (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on September 11, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Lissu (Guest) on September 5, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on September 3, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on August 17, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 15, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 19, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on June 2, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Monica Lissu (Guest) on May 16, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Jane Muthoni (Guest) on April 29, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on April 1, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on March 29, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Ndungu (Guest) on March 13, 2021

🀣πŸ”₯😊

Alice Mwikali (Guest) on February 25, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Esther Nyambura (Guest) on February 14, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on February 9, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

George Mallya (Guest) on February 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on February 4, 2021

😊🀣πŸ”₯

Betty Cheruiyot (Guest) on January 15, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on November 25, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Maimuna (Guest) on November 24, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Joseph Njoroge (Guest) on November 11, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on November 5, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on October 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on October 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on October 18, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Maida (Guest) on September 30, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Grace Minja (Guest) on September 12, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Binti (Guest) on August 8, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on July 28, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Patrick Kidata (Guest) on July 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joy Wacera (Guest) on July 2, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Rehema (Guest) on June 29, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Betty Cheruiyot (Guest) on May 18, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Rahim (Guest) on May 15, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Jane Muthoni (Guest) on May 11, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on April 7, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Zubeida (Guest) on March 29, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on March 25, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on March 24, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on March 23, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on March 10, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on March 8, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on February 20, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on February 14, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mwajuma (Guest) on February 12, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Michael Onyango (Guest) on January 13, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Related Posts

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More