Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on September 29, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Salima (Guest) on September 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on September 8, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on August 23, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on August 22, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Sumaye (Guest) on August 20, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on July 25, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Amina (Guest) on July 10, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

John Malisa (Guest) on June 30, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Wilson Ombati (Guest) on June 24, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on June 23, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Violet Mumo (Guest) on June 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on May 18, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 18, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on May 17, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 15, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on April 27, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Majid (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 3, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Shabani (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 3, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarafina (Guest) on February 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Chacha (Guest) on February 22, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Andrew Mchome (Guest) on February 19, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Sokoine (Guest) on January 28, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on January 24, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Kimani (Guest) on November 19, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 21, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on September 18, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on September 10, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on August 22, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Khadija (Guest) on August 12, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 2, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on May 10, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on May 3, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Alice Mrema (Guest) on April 27, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Abubakar (Guest) on April 18, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Athumani (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Wilson Ombati (Guest) on April 7, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwakisu (Guest) on April 5, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Zainab (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on March 22, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Sumari (Guest) on February 24, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on January 25, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 6, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Mallya (Guest) on November 29, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nuru (Guest) on November 26, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Mrope (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on November 13, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Irene Makena (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on November 6, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on November 4, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More