Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Mrema (Guest) on September 6, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Neema (Guest) on August 27, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on August 8, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Makame (Guest) on August 7, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

George Wanjala (Guest) on August 2, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on July 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Jackson Makori (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 16, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mushi (Guest) on April 12, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on April 5, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on March 28, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on March 5, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Janet Mwikali (Guest) on February 23, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on February 16, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

John Kamande (Guest) on January 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on January 10, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Catherine Mkumbo (Guest) on January 9, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Tabitha Okumu (Guest) on January 4, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on December 30, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Catherine Mkumbo (Guest) on November 17, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 15, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Kawawa (Guest) on October 26, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mary Kendi (Guest) on October 18, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 16, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on October 6, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on September 23, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Shamsa (Guest) on September 12, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Shamim (Guest) on August 26, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Violet Mumo (Guest) on July 26, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on July 13, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on June 20, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Sarah Mbise (Guest) on June 11, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on June 6, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Saidi (Guest) on June 3, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Joyce Nkya (Guest) on May 21, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on May 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Makena (Guest) on March 31, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on February 28, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Latifa (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Chris Okello (Guest) on February 18, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on February 18, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on February 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on December 19, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Michael Onyango (Guest) on December 5, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on November 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on November 25, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mwajuma (Guest) on November 23, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Simon Kiprono (Guest) on November 6, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Mrope (Guest) on November 2, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on October 17, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on October 2, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

James Malima (Guest) on September 29, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on September 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Related Posts

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More