Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Featured Image

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje,

Si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

*Mniache mimi sipendi Ujinga Ujinga πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kawawa (Guest) on June 2, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumari (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Zainab (Guest) on March 14, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Samson Mahiga (Guest) on March 1, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ann Awino (Guest) on February 25, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on February 23, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Umi (Guest) on January 20, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwakisu (Guest) on December 19, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Rose Kiwanga (Guest) on December 14, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Raha (Guest) on December 6, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Samuel Were (Guest) on December 5, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

George Ndungu (Guest) on December 3, 2021

Asante Ackyshine

Omari (Guest) on November 28, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Grace Mushi (Guest) on October 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on September 16, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Athumani (Guest) on August 6, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Margaret Anyango (Guest) on July 24, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 20, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 24, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ahmed (Guest) on April 23, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Mchome (Guest) on March 31, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 18, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Wande (Guest) on January 29, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Samuel Omondi (Guest) on January 20, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on January 17, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on January 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on January 4, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam Kawawa (Guest) on December 28, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Chiku (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mwanais (Guest) on November 30, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 25, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on November 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mchawi (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mariam Hassan (Guest) on September 22, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on August 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on July 29, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on May 6, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on May 4, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rehema (Guest) on May 4, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Daudi (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Martin Otieno (Guest) on April 18, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 6, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 30, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 17, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on February 13, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jabir (Guest) on January 23, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on November 25, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on November 21, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on November 19, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on November 9, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on November 6, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on October 28, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Wambura (Guest) on October 7, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Sumaya (Guest) on September 5, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on August 1, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Charles Mrope (Guest) on July 1, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Related Posts

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More