Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini zipu ya suruali yake ilikuwa wazi. Mama akamuuliza, mkeo anaendeleaje? Akamuambia, anajisikia vzr sasa. Nimempa panadol. Mama akatabasamu na kumwambia mwanaye, sawa. Lakini siku nyingine ukishatoa panadol ukumbuke kufunga pharmacyπŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Jebet (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Salima (Guest) on August 23, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nuru (Guest) on August 14, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joseph Kawawa (Guest) on August 5, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on June 26, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on June 19, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Esther Cheruiyot (Guest) on June 17, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Benjamin Masanja (Guest) on May 12, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mahiga (Guest) on April 2, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Joyce Nkya (Guest) on April 2, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on March 31, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on February 15, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mwakisu (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mchome (Guest) on November 28, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Yusra (Guest) on November 25, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 15, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on October 7, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on September 23, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on September 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 20, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on July 11, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on May 22, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on May 21, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on May 17, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Irene Akoth (Guest) on May 5, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Zakia (Guest) on April 30, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 25, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on April 16, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on April 12, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on April 11, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Susan Wangari (Guest) on April 5, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Abdullah (Guest) on March 4, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 2, 2020

😊🀣πŸ”₯

Josephine Nduta (Guest) on February 26, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Kangethe (Guest) on February 22, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on January 25, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on January 24, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mwambui (Guest) on January 11, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Maulid (Guest) on December 22, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Isaac Kiptoo (Guest) on November 26, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on November 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on November 19, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on November 18, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Asha (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on October 26, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salima (Guest) on October 26, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 10, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on September 25, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mary Mrope (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Mollel (Guest) on September 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nuru (Guest) on September 3, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Wanjala (Guest) on August 17, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 9, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kassim (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Linda Karimi (Guest) on July 4, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More