Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.
03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia Siasa na kuwaongoza wote hapo juu. Yaani wa kwanza na wa pili.
04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu wote hawana raha.
05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa shule wanakuwa waganga wa kienyeji, wote hapo juu watamtafuta huyu, pale mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸƒπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Lissu (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Samuel Were (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Janet Sumari (Guest) on March 30, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Mushi (Guest) on February 14, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Andrew Mahiga (Guest) on February 11, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alex Nakitare (Guest) on January 31, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Wairimu (Guest) on January 20, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on January 7, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 22, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Monica Nyalandu (Guest) on December 21, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 17, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 16, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 12, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on December 12, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

George Tenga (Guest) on December 10, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jamal (Guest) on November 28, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Amukowa (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Frank Macha (Guest) on November 4, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on October 13, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

George Mallya (Guest) on September 2, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on August 15, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on August 2, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 24, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Kawawa (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Wafula (Guest) on April 28, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nancy Komba (Guest) on March 29, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on March 28, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Makame (Guest) on March 2, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Kawawa (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Tabu (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Sokoine (Guest) on February 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on January 19, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on September 20, 2020

😊🀣πŸ”₯

Zuhura (Guest) on August 24, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mazrui (Guest) on August 17, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on August 16, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on July 27, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Mary Sokoine (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Esther Nyambura (Guest) on July 19, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on July 5, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on May 27, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on May 14, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Grace Njuguna (Guest) on May 5, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on March 8, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on March 6, 2020

🀣πŸ”₯😊

Ann Awino (Guest) on February 17, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Emily Chepngeno (Guest) on January 26, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Shabani (Guest) on January 9, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 12, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on December 2, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Esther Nyambura (Guest) on November 21, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ahmed (Guest) on November 20, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Wande (Guest) on October 25, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Hamida (Guest) on October 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Hellen Nduta (Guest) on October 19, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Miriam Mchome (Guest) on September 2, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on August 17, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Rose Kiwanga (Guest) on June 29, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on June 14, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Related Posts

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More