Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Mrope (Guest) on June 27, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on May 18, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on May 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Muslima (Guest) on March 29, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Shabani (Guest) on March 25, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on February 27, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jackson Makori (Guest) on February 24, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on February 6, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on January 23, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Anna Malela (Guest) on January 2, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on November 28, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Nchi (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 17, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Mwalimu (Guest) on September 5, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

James Kimani (Guest) on August 16, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on August 4, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on July 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on June 23, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Malisa (Guest) on May 16, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Susan Wangari (Guest) on May 16, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Binti (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwajabu (Guest) on May 4, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Edward Lowassa (Guest) on April 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hashim (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Shamim (Guest) on April 4, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Janet Sumari (Guest) on April 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Francis Mrope (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Njoroge (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

James Kawawa (Guest) on February 27, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on February 22, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Alex Nyamweya (Guest) on February 16, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on February 12, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kevin Maina (Guest) on February 3, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Saidi (Guest) on January 21, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Mwikali (Guest) on January 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on December 20, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Shani (Guest) on December 4, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Rose Mwinuka (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mwajabu (Guest) on November 27, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mercy Atieno (Guest) on October 27, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Kahina (Guest) on August 24, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rubea (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwajabu (Guest) on August 6, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Salma (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Mwalimu (Guest) on June 22, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mercy Atieno (Guest) on May 7, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 26, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on April 22, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 12, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

David Sokoine (Guest) on April 6, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on February 25, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Diana Mallya (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ruth Wanjiku (Guest) on January 30, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Zakia (Guest) on January 24, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on January 24, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Richard Mulwa (Guest) on January 21, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More