Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mtaki (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on June 14, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 20, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 10, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Njeri (Guest) on March 3, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on February 29, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on January 24, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

James Mduma (Guest) on December 10, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

James Kimani (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on November 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joseph Kitine (Guest) on October 4, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Baraka (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on September 23, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 15, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 30, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Said (Guest) on August 14, 2023

Mzee kawawezaπŸ˜€

Lydia Wanyama (Guest) on July 28, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Nuru (Guest) on July 17, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on July 2, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rose Waithera (Guest) on June 10, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Husna (Guest) on June 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on June 1, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yusuf (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Richard Mulwa (Guest) on April 24, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on April 21, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Omar (Guest) on April 17, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on March 29, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Alex Nyamweya (Guest) on March 29, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samuel Omondi (Guest) on February 18, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on December 30, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jaffar (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on November 17, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on November 11, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 2, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on November 1, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Naliaka (Guest) on October 30, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on October 28, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jackson Makori (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Malima (Guest) on September 3, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Ali (Guest) on June 11, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Henry Mollel (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwafirika (Guest) on June 8, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Omar (Guest) on June 1, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on May 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Charles Mrope (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on March 26, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Diana Mumbua (Guest) on March 23, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Charles Mrope (Guest) on January 28, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on January 14, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on January 8, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Mallya (Guest) on December 24, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More