Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:

SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako…

Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.

Akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea:

BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona benz langu lime paki au…?

SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kassim (Guest) on July 21, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Sokoine (Guest) on July 17, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on July 4, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 23, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 21, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Lucy Mahiga (Guest) on May 16, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on May 16, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on April 28, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Shamim (Guest) on April 14, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on April 11, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Benjamin Masanja (Guest) on February 16, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Stephen Kangethe (Guest) on February 13, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Susan Wangari (Guest) on February 12, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on January 29, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joyce Mussa (Guest) on January 14, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Francis Njeru (Guest) on November 5, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on October 13, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Salima (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Betty Akinyi (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Irene Akoth (Guest) on September 16, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 8, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on September 3, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Lowassa (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Mallya (Guest) on August 8, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Maida (Guest) on July 31, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

James Kawawa (Guest) on July 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on July 23, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Charles Mboje (Guest) on July 19, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Violet Mumo (Guest) on June 22, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nora Kidata (Guest) on June 6, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on June 2, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Jaffar (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Francis Mrope (Guest) on April 20, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on March 25, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on March 18, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on March 5, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elizabeth Malima (Guest) on February 19, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Mwakisu (Guest) on February 15, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Mwikali (Guest) on February 2, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on January 11, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on January 2, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nancy Komba (Guest) on December 8, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on November 23, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mashaka (Guest) on November 17, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lydia Wanyama (Guest) on October 23, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Daudi (Guest) on September 29, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nyota (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on September 8, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mwajuma (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mzee (Guest) on July 30, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Sharon Kibiru (Guest) on July 20, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Paul Ndomba (Guest) on July 5, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

George Tenga (Guest) on June 23, 2022

😊🀣πŸ”₯

Abubakari (Guest) on June 20, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More