Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..





BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Frank Sokoine (Guest) on July 15, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on July 10, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on June 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on June 6, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on June 3, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on June 3, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on May 15, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Maimuna (Guest) on April 22, 2024

Asante Ackyshine

Agnes Sumaye (Guest) on March 26, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on March 10, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on February 9, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on February 3, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Muslima (Guest) on December 14, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mtumwa (Guest) on December 9, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ruth Mtangi (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Monica Adhiambo (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 10, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on October 15, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on October 4, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

James Malima (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Patrick Akech (Guest) on September 10, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on September 5, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Susan Wangari (Guest) on September 1, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on August 19, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mchome (Guest) on July 18, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mwanaidi (Guest) on July 15, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 11, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on July 6, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sharon Kibiru (Guest) on July 5, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ruth Kibona (Guest) on June 20, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on June 18, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Janet Sumaye (Guest) on June 4, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on May 27, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 7, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Latifa (Guest) on April 28, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Anthony Kariuki (Guest) on April 28, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on March 27, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jane Malecela (Guest) on March 2, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Zakaria (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Zakaria (Guest) on January 18, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Amani (Guest) on January 5, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mashaka (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Chris Okello (Guest) on December 21, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 13, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Zubeida (Guest) on October 21, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on September 1, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jackson Makori (Guest) on August 12, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Charles Mchome (Guest) on August 1, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on July 23, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Selemani (Guest) on July 6, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Jacob Kiplangat (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Lissu (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jane Malecela (Guest) on May 31, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on April 21, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on April 10, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mercy Atieno (Guest) on April 9, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More