Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta
ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa





AFANDE: Kha! kisa mkasa mpk akafanya hivyo
ASKARI: Mama mwenye nyumba alikua anapiga deki mumewe akaingia ndani viatu kabla sakafu haijakauka
AFANDE: Sasa mmesha mkamata huyo mwanamke
ASKARI: Bado mkuu
AFANDE: Kha! sasa mnangoja nini
ASKARI: Si tunangoja sakafu ikauke


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kabura (Guest) on July 18, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Bahati (Guest) on June 9, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on May 4, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Shani (Guest) on May 2, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Michael Mboya (Guest) on January 17, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on January 3, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on November 26, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on October 22, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on October 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Mohamed (Guest) on October 12, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on September 23, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on September 20, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on September 15, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Kikwete (Guest) on August 27, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on August 4, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Maneno (Guest) on August 2, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Henry Sokoine (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Raphael Okoth (Guest) on July 8, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on June 23, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Zuhura (Guest) on June 20, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Amina (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on June 4, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on April 16, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on April 8, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on March 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on February 21, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mariam Kawawa (Guest) on February 15, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on February 14, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Furaha (Guest) on February 7, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on January 24, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Hamida (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Fredrick Mutiso (Guest) on January 3, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Fadhila (Guest) on December 2, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on November 23, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on October 30, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Leila (Guest) on October 25, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jane Muthui (Guest) on October 19, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Monica Adhiambo (Guest) on October 14, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Susan Wangari (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on September 29, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Kendi (Guest) on September 24, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Salma (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Anna Sumari (Guest) on September 11, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on August 1, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on July 13, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Agnes Njeri (Guest) on July 8, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Malela (Guest) on June 8, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on May 7, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Salima (Guest) on May 2, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on May 1, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on April 20, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Amani (Guest) on April 9, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lucy Mahiga (Guest) on March 22, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on February 26, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jabir (Guest) on February 19, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Akumu (Guest) on February 15, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on January 22, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on January 22, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More