Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Frank Sokoine (Guest) on June 27, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on June 8, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mary Njeri (Guest) on May 19, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on May 2, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Akinyi (Guest) on April 9, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Shani (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Salum (Guest) on February 18, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jackson Makori (Guest) on December 7, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Husna (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

John Mushi (Guest) on December 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 23, 2023

🀣πŸ”₯😊

Victor Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Safiya (Guest) on September 1, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Betty Akinyi (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on August 26, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Susan Wangari (Guest) on July 30, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on July 5, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 27, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on June 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nahida (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on May 22, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on May 4, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 17, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Daniel Obura (Guest) on April 15, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on April 12, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Joyce Aoko (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Stephen Kangethe (Guest) on April 9, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on April 4, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maimuna (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 8, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on March 4, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on February 27, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Malima (Guest) on February 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on January 30, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nasra (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 2, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Kawawa (Guest) on December 22, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

David Musyoka (Guest) on December 21, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Furaha (Guest) on December 11, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on November 20, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on November 5, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nassor (Guest) on November 4, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on October 27, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Malima (Guest) on October 6, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on September 28, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on September 28, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Kenneth Murithi (Guest) on August 12, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Hashim (Guest) on July 24, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

David Sokoine (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Simon Kiprono (Guest) on June 6, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Shamim (Guest) on May 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Aziza (Guest) on May 16, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Peter Mwambui (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Related Posts

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More