Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Featured Image

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu
MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi
MKE: Lazima niulize mie huwa nahakikisha nimeacha kila kitu hukohuko ndio narudi nyumbani
MUME: Umesema nini wewe?
MKE: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on July 12, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on July 6, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Miriam Mchome (Guest) on June 24, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Grace Minja (Guest) on May 14, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on May 12, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Neema (Guest) on April 16, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kassim (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Leila (Guest) on March 14, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Akumu (Guest) on March 3, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 27, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Charles Mchome (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on February 3, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on January 15, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Kimario (Guest) on December 27, 2023

Asante Ackyshine

Grace Mligo (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sarafina (Guest) on November 22, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on November 13, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Salma (Guest) on November 4, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on October 28, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on October 21, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Stephen Kikwete (Guest) on September 29, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Shamsa (Guest) on September 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mahiga (Guest) on September 6, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on August 31, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Frank Macha (Guest) on August 25, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on August 21, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on August 17, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on July 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on June 10, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on May 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on May 16, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on April 29, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on March 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on February 20, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Malima (Guest) on December 19, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on November 4, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rahma (Guest) on October 23, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rabia (Guest) on October 20, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

George Tenga (Guest) on October 8, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on September 21, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on September 16, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Mwita (Guest) on August 11, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on June 26, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on June 18, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Khamis (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 20, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

James Mduma (Guest) on May 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Saidi (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Patrick Mutua (Guest) on March 9, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Brian Karanja (Guest) on March 5, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jane Muthui (Guest) on December 29, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mary Sokoine (Guest) on November 20, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Victor Mwalimu (Guest) on November 11, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Margaret Anyango (Guest) on October 29, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Halimah (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Related Posts

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More