Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Moses Kipkemboi (Guest) on July 3, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Guest (Guest) on September 16, 2025

Nampa zote huyu teacher hahahaha.

Victor Malima (Guest) on June 27, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Sokoine (Guest) on June 20, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on June 19, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wande (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on May 26, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Betty Kimaro (Guest) on May 23, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on April 28, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 14, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mohamed (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mariam Hassan (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sharon Kibiru (Guest) on March 15, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Kamau (Guest) on March 4, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on February 7, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on January 19, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Wambura (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on December 25, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on September 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on August 26, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Sumari (Guest) on August 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on August 15, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on July 31, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 17, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on July 14, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Christopher Oloo (Guest) on June 26, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on June 25, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on June 13, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on May 31, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on May 13, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on May 12, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Mahiga (Guest) on March 24, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Salima (Guest) on March 18, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on March 3, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Daudi (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Susan Wangari (Guest) on February 18, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on February 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Abdillah (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Frank Sokoine (Guest) on January 17, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mohamed (Guest) on January 11, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Njoroge (Guest) on January 3, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Josephine (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Bahati (Guest) on December 3, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Monica Lissu (Guest) on November 15, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Wairimu (Guest) on October 31, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on October 25, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on August 9, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on August 5, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Sarah Achieng (Guest) on July 14, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on July 4, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More